Font Size
1 Timotheo 5:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 5:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Wazee
17 Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli za kanisa vema wanastahili heshima mara mbili, hasa wale ambao kazi yao ni kuhu biri na kufundisha. 18 Maana Maandiko husema, “Ng’ombe apurapo nafaka usimfunge kinywa,” na tena, “Mfanyakazi anastahili msha hara wake.” 19 Usikubali kusikiliza mashtaka juu ya mzee wa kanisa kama hayakuletwa na mashahidi wawili au watatu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica