Font Size
1 Timotheo 5:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 5:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Maana Maandiko husema, “Ng’ombe apurapo nafaka usimfunge kinywa,” na tena, “Mfanyakazi anastahili msha hara wake.” 19 Usikubali kusikiliza mashtaka juu ya mzee wa kanisa kama hayakuletwa na mashahidi wawili au watatu. 20 Wale wanaoendelea kutenda dhambi uwaonye hadharani kusudi wengine wapate kuogopa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica