Font Size
1 Timotheo 5:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 5:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
19 Usikubali kusikiliza mashtaka juu ya mzee wa kanisa kama hayakuletwa na mashahidi wawili au watatu. 20 Wale wanaoendelea kutenda dhambi uwaonye hadharani kusudi wengine wapate kuogopa.
21 Ninakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu na mbele ya malaika wateule, tekeleza maagizo haya pasipo kubagua wala upendeleo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica