Font Size
1 Timotheo 5:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 5:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Wale wanaoendelea kutenda dhambi uwaonye hadharani kusudi wengine wapate kuogopa.
21 Ninakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu na mbele ya malaika wateule, tekeleza maagizo haya pasipo kubagua wala upendeleo. 22 Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono wala usishiriki katika dhambi za mtu mwingine, jiweke katika hali ya usafi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica