Font Size
1 Timotheo 6:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 6:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Mawaidha Ya Paulo Kwa Timotheo
11 Lakini wewe mtu wa Mungu, epuka haya yote. Tafuta kupata haki, utauwa, imani, upendo, subira na upole. 12 Pigana ile vita njema ya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa ulipokiri lile ungamo lako jema mbele ya mashahidi wengi.
13 Mbele ya Mungu ambaye amevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Kristo Yesu ambaye kwa ushuhuda wake mbele ya Pontio Pilato alikiri lile ungamo jema,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica