Font Size
1 Timotheo 6:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 6:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 huyo amejaa majivuno na wala hafahamu cho chote. Mtu kama huyo ana uchu wa ubishi na mashindano ya maneno ambayo huleta wivu, ugomvi, matukano, shuku mbaya, 5 na ugomvi wa mara kwa mara kati ya watu wenye mawazo maovu, ambao hawanayo ile kweli, na ambao hudhani kwamba kumcha Mungu ni njia ya kuchuma fedha.
6 Bali kumcha Mungu na kuridhika ni faida kubwa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica