Font Size
1 Timotheo 6:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 6:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 na ugomvi wa mara kwa mara kati ya watu wenye mawazo maovu, ambao hawanayo ile kweli, na ambao hudhani kwamba kumcha Mungu ni njia ya kuchuma fedha.
6 Bali kumcha Mungu na kuridhika ni faida kubwa. 7 Kwa maana hatukuja na kitu cho chote hapa duniani, wala hatuwezi kutoka na kitu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica