Font Size
1 Timotheo 6:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 6:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Daima wanaleta shida, kwa sababu ni watu ambao kufikiri kwao kumeharibiwa. Wamepoteza ufahamu wao wa ukweli. Wanafikiri kwamba kujifanya wanamheshimu Mungu ni njia ya kupata utajiri.
6 Kuishi kwa kumheshimu Mungu, hakika, ni njia ambayo watu hutajirika sana, kwa sababu inamaanisha wanaridhika na walivyo navyo. 7 Tulipokuja ulimwenguni, tulikuja bila kitu, na tutakapokufa hatutachukua chochote.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International