Add parallel Print Page Options

Kuishi kwa kumheshimu Mungu, hakika, ni njia ambayo watu hutajirika sana, kwa sababu inamaanisha wanaridhika na walivyo navyo. Tulipokuja ulimwenguni, tulikuja bila kitu, na tutakapokufa hatutachukua chochote. Hivyo, kama tukiwa na chakula na nguo, tutaridhika navyo.

Read full chapter