Font Size
1 Timotheo 6:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 6:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Kuishi kwa kumheshimu Mungu, hakika, ni njia ambayo watu hutajirika sana, kwa sababu inamaanisha wanaridhika na walivyo navyo. 7 Tulipokuja ulimwenguni, tulikuja bila kitu, na tutakapokufa hatutachukua chochote. 8 Hivyo, kama tukiwa na chakula na nguo, tutaridhika navyo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International