Font Size
1 Timotheo 6:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 6:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Kwa maana hatukuja na kitu cho chote hapa duniani, wala hatuwezi kutoka na kitu. 8 Lakini kama tuna chakula na mavazi, basi tutaridhika. 9 Watu wanaotamani kuwa matajiri huanguka katika majaribu na mtego na katika tamaa nyingi mbaya na za kijinga, ambazo huwato komeza wanadamu katika upotevu na maangamizi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica