Font Size
1 Wakorintho 13:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
1 Wakorintho 13:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Na kama nina uwezo wa unabii, na kuelewa siri zote na maarifa yote; na hata kama nina imani kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, mimi si kitu. 3 Kama nikitoa mali yote niliyo nayo, na kama nikitoa mwili wangu uchomwe moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.
4 Upendo huvumilia, upendo hufadhili; upendo hauna wivu au majivuno.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica