Font Size
1 Yohana 4:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 4:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
15 Kila mtu anayekiri kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu hukaa ndani yake, na yeye hukaa ndani ya Mungu. 16 Kwa hiyo tunajua na kutegemea upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na mtu mwenye upendo hukaa ndani ya Mungu na Mungu hukaa ndani yake. 17 Upendo unakamilishwa ndani yetu ili tuwe na uja siri siku ile ya hukumu; kwa maana hata katika ulimwengu huu sisi tunaishi kama yeye.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica