Font Size
1 Yohana 4:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 4:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 Kwa hiyo tunajua na kutegemea upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na mtu mwenye upendo hukaa ndani ya Mungu na Mungu hukaa ndani yake. 17 Upendo unakamilishwa ndani yetu ili tuwe na uja siri siku ile ya hukumu; kwa maana hata katika ulimwengu huu sisi tunaishi kama yeye. 18 Katika upendo hakuna woga; upendo ulioka milika hufukuza woga wote, kwa sababu woga hutokana na adhabu. Mtu mwenye woga hajakamilishwa katika upendo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica