Font Size
1 Yohana 4:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 4:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Katika upendo hakuna woga; upendo ulioka milika hufukuza woga wote, kwa sababu woga hutokana na adhabu. Mtu mwenye woga hajakamilishwa katika upendo. 19 Tunapenda kwa sababu yeye alitupenda kwanza. 20 Mtu akisema, “Nampenda Mungu,” na huku anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Kwa maana mtu asipompenda ndugu yake ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hajamwona.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica