Font Size
1 Yohana 4:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Yohana 4:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Upendo Hutoka kwa Mungu
7 Wapenzi rafiki, tunatakiwa tupendane sisi kwa sisi, kwa sababu upendo watoka kwa Mungu. Yeyote apendae amefanyika mwana wa Mungu. Na kila apendae anamfahamu Mungu. 8 Kila asiyependa hamfahamu Mungu, kwa sababu Mungu ni Pendo. 9 Hivi ndivyo Mungu alivyo tuonyesha pendo lake sisi: Alimtuma mwanawe wa pekee ulimwenguni kutupatia sisi uzima katika yeye.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International