Font Size
1 Yohana 5:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 5:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Mtu anayemwamini Mwana wa Mungu anao ushuhuda huo ndani yake. Mtu asiyemwamini Mungu, amemfanya Mungu kuwa ni mwongo, kwa sababu hakuamini ushuhuda alioutoa Mungu kuhusu Mwanae. 11 Na ushuhuda wenyewe ndio huu: Mungu ametupatia uzima wa milele, na uzima huu umo kwa Mwanae. 12 Aliye naye Mwana anao uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana uzima.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica