Font Size
1 Yohana 5:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 5:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Na ushuhuda wenyewe ndio huu: Mungu ametupatia uzima wa milele, na uzima huu umo kwa Mwanae. 12 Aliye naye Mwana anao uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana uzima.
Uzima Wa Milele
13 Ninawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini jina la Mwana wa Mungu kusudi mjue kuwa mnao uzima wa milele.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica