Font Size
1 Yohana 5:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 5:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Aliye naye Mwana anao uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana uzima.
Uzima Wa Milele
13 Ninawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini jina la Mwana wa Mungu kusudi mjue kuwa mnao uzima wa milele. 14 Na sisi tunao ujasiri huu mbele za Mungu kwamba, tukiomba cho chote sawa na mapenzi yake, atatusikia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica