Font Size
1 Yohana 5:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 5:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Uzima Wa Milele
13 Ninawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini jina la Mwana wa Mungu kusudi mjue kuwa mnao uzima wa milele. 14 Na sisi tunao ujasiri huu mbele za Mungu kwamba, tukiomba cho chote sawa na mapenzi yake, atatusikia. 15 Na tukijua kwamba anatusikia kwa lo lote tunaloomba basi tuna hakika kwamba tumekwisha pata yale tuliyomwomba.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica