Font Size
1 Yohana 5:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 5:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Na hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: tukimpenda Mungu na kuzitii amri zake. 3 Kwa maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na amri zake hazitule mei. 4 Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu ameushinda ulimwengu. Nasi tumeushinda ulimwengu kwa imani yetu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica