Font Size
1 Yohana 5:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 5:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu ameushinda ulimwengu. Nasi tumeushinda ulimwengu kwa imani yetu. 5 Ni nani basi aushin daye ulimwengu isipokuwa yeye aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu?
Mashahidi Wa Yesu Kristo
6 Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji na damu; si kwa maji peke yake, bali kwa maji na damu. Roho mwenyewe ndiye anayemshu hudia kwa maana Roho ni kweli.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica