Font Size
1 Yohana 5:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 5:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Mashahidi Wa Yesu Kristo
6 Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji na damu; si kwa maji peke yake, bali kwa maji na damu. Roho mwenyewe ndiye anayemshu hudia kwa maana Roho ni kweli. 7 Wapo mashahidi watatu: 8 Roho, maji na damu; na hawa watatu wanakubaliana.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica