Font Size
1 Wakorintho 1:19-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Wakorintho 1:19-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Kama Maandiko yanavyosema,
“Nitaiharibu hekima ya wenye hekima.
Nitaukanganya uelewa wa wenye akili.”(A)
20 Je, hii inasema nini kuhusu mwenye hekima, mtaalamu wa sheria au yeyote katika ulimwengu huu mwenye ujuzi wa kutengeneza hoja zenye nguvu? Mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upuuzi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International