Font Size
2 Yohana 9-11
Neno: Bibilia Takatifu
2 Yohana 9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Mtu ye yote anayevuka mpaka wa mafundisho ya Kristo, na kuyaacha, huyo hana Mungu. Na mtu anayedumu katika mafundisho ya Kristo, huyo anaye Baba na Mwana pia. 10 Mtu ye yote akija kwenu bila kuwaletea mafundisho haya, msimkaribishe nyumbani kwenu, wala msimsalimu. 11 Kwa maana mtu anayemsalimu anashiriki kazi zake za uovu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica