Font Size
2 Timotheo 3:12-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Timotheo 3:12-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Kwa hakika wote wanaoishi maisha yenye kumtukuza Mungu kama wafuasi wa Kristo Yesu watasumbuliwa. 13 Lakini watu waovu na wanaodanganya wengine wataendelea kuwa wabaya zaidi. Watawadaganya wengine na wao pia watajidanganya wenyewe.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International