Font Size
3 Yohana 6-8
Neno: Bibilia Takatifu
3 Yohana 6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Wamelishuhudia kanisa kuhusu upendo wako. Tafadhali wasaidie waendelee na safari yao kwa namna itakayompendeza Mungu. 7 Kwa maana wanasafiri kwa ajili ya Bwana na wamekataa kupokea cho chote kutoka kwa watu wasiomjua Mungu . 8 Kwa hiyo tunawajibu wa kuwasaidia watu wa namna hiyo ili tuwe watenda kazi pamoja nao kwa ajili ya kweli.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica