Font Size
3 Yohana 7-9
Neno: Bibilia Takatifu
3 Yohana 7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Kwa maana wanasafiri kwa ajili ya Bwana na wamekataa kupokea cho chote kutoka kwa watu wasiomjua Mungu . 8 Kwa hiyo tunawajibu wa kuwasaidia watu wa namna hiyo ili tuwe watenda kazi pamoja nao kwa ajili ya kweli.
Diotrefe Na Demetrio
9 Niliandika barua kwa hilo kanisa; lakini Diotrefe apendaye kujiweka mbele kama kiongozi wao, hatambui mamlaka yangu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica