Font Size
3 Yohana 7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Yohana 7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Safari hiyo waliyoenda ni ya kumtumikia Kristo. Hawakupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini. 8 Hivyo inatupasa kuwasaidia. Tunapowasaidia, tunashiriki kazi yao katika ile kweli.
9 Niliandika barua kwa kanisa, ila Diotrefe hasikilizi yale tunayosema. Yeye daima anataka kuwa kiongozi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International