Font Size
Luka 10:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 10:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
31 litokea kwamba kuhani mmoja alikuwa anapitia njia ile. Ali pomwona huyo mtu, akapita upande mwingine wa barabara akamwacha hapo hapo. 32 Vivyo hivyo Mlawi mmoja naye alipopita, alimwona, akapita upande mwingine wa barabara akamwacha hapo hapo.
33 “Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri kupitia njia hiyo alipomkuta, alimwonea huruma,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica