Font Size
Luka 10:35-37
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 10:35-37
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
35 Siku iliyofuata, Msamaria alitoa sarafu mbili za fedha na kumpa mtunza nyumba ya wageni, akamwambia, ‘Mtunze mtu huyu aliyejeruhiwa. Ukitumia pesa nyingi zaidi kwa kumhudumia, nitakulipa nitakapokuja tena.’”
36 Kisha Yesu akasema, “Ni yupi kati ya hawa watu watatu unadhani hakika alikuwa jirani wa yule mtu aliyepigwa na majambazi?”
37 Mwanasheria akajibu, “Ni yule aliyemsaidia.”
Yesu akasema, “Basi nenda ukafanye kama alivyofanya.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International