Font Size
Luka 11:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Au akimwomba yai atampa nge? 13 Ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, Baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi; atawapa Roho
Yesu Na Beelzebuli
14 Yesu alikuwa anamtoa pepo mtu mmoja ambaye alikuwa bubu. Pepo huyo alipotoka, yule mtu akaanza kusema! Watu wakashangaa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica