Font Size
Luka 11:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
15 Lakini wengine wakasema: “Anatoa pepo kwa uwezo wa Beelzeb uli, yule mkuu wa pepo wote.” 16 Wengine wakamjaribu kwa kum womba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
17 Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, “Nchi yo yote iliyo na mgawanyiko wa vikundi-vikundi vinavyopingana au familia yenye mafarakano, huangamia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica