Font Size
Luka 11:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 Wengine wakamjaribu kwa kum womba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
17 Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, “Nchi yo yote iliyo na mgawanyiko wa vikundi-vikundi vinavyopingana au familia yenye mafarakano, huangamia. 18 Kama ufalme wa shetani ungekuwa umega wanyika wenyewe kwa wenyewe ungesimamaje? Nasema hivi kwa sababu mnasema ninaondoa pepo kwa uwezo wa Beelzebuli.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica