Font Size
Luka 11:48-50
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:48-50
Neno: Bibilia Takatifu
48 Kwa kufanya hivyo mnakiri kwamba mnaunga mkono kitendo hicho walichofanya babu zenu. Wao waliua na ninyi mnatengeneza makaburi.
49 “Ndio maana Mungu katika hekima yake alisema, ‘Nita wapeleka manabii na mitume, na baadhi yao watawaua na wengine watawatesa.’ 50 Kwa hiyo damu ya manabii wote iliyomwagika tangu mwanzo wa dunia itahesabiwa juu ya watu wa kizazi hiki;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica