Font Size
Luka 11:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Kwa hiyo nawaambia, ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni, nanyi mtafunguliwa mlango. 10 Kwa kuwa kila anayeomba hupewa; naye atafutaye, hupata; na kila abishaye, hufunguliwa mlango. 11 “Ni baba yupi miongoni mwenu, ambaye mtoto wake akimwomba samaki, atampa nyoka badala yake?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica