Font Size
Luka 12:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 12:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Awaonya Na Kuwafariji Wanafunzi
12 Wakati huo, maelfu ya watu walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu alizungumza na wanafunzi wake kwanza, akawaambia: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani, unafiki wao.
2 “Hakuna jambo lililofunikwa ambalo halitafunuliwa au siri iliyofichwa ambayo haitajulikana. 3 Kwa hiyo, yote mliyosema gizani yatasikiwa mchana: na yote mliyonong’onezana mkiwa mmeji fungia chumbani, yatatangazwa hadharani.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica