Font Size
Luka 12:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 12:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Kwa hiyo, yote mliyosema gizani yatasikiwa mchana: na yote mliyonong’onezana mkiwa mmeji fungia chumbani, yatatangazwa hadharani.
4 “Nawambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, na halafu basi. 5 Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: mwogopeni yule ambaye baada ya kumwua mtu ana mamlaka ya kumtupa motoni. Naam: huyo, mwogopeni!
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica