Font Size
Luka 12:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 12:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Lakini kila anayenikana mbele za watu, pia mimi Mwana wa Adamu nitamkana mbele ya malaika wa Mungu. 10 Na kila atakayesema neno baya kunihusu mimi Mwana wa Adamu atasamehewa. Lakini mtu anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. 11 “Na watakapowapeleka katika masinagogi mbele ya watawala na mamlaka, msiwe na wasiwasi kuhusu mtakavyojitetea au mtakavyosema:
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica