Font Size
Luka 16:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Na ikiwa hamkuwa waaminifu katika kutunza mali ya dunia hii, ni nani atakayewaamini awakabidhi mali ya kweli? 12 Na kama ham kuwa waaminifu na mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa mali yenu wenyewe? 13 Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia mabwana wawili. Ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine; au atamheshimu mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu pamoja na mali.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica