Font Size
Luka 16:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Na kama ham kuwa waaminifu na mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa mali yenu wenyewe? 13 Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia mabwana wawili. Ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine; au atamheshimu mmoja na kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu pamoja na mali.”
14 Basi Mafarisayo, ambao wenyewe walipenda fedha, waliyasi kia hayo yote wakamcheka.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica