Font Size
Luka 16:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 16:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
13 Mtumwa hawezi kuwatumikia mabwana wawili wakati mmoja, hata ninyi hamwezi. Utamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au utakuwa mwaminifu kwa mmoja na hautamjali mwingine. Pia, huwezi kumtumikia Mungu na pesa.”[a]
Sheria Ya Mungu Haiwezi Kubadilishwa
(Mt 11:12-13)
14 Mafarisayo walikuwa wakiyasikiliza mambo haya yote. Walimdhihaki Yesu kwa sababu wote walipenda pesa. 15 Yesu aliwaambia, “Mnajifanya kuwa wenye haki mbele za watu, lakini Mungu anajua hakika kilichomo mioyoni mwenu. Jambo ambalo watu hudhani kuwa la muhimu, kwa Mungu ni chukizo.
Read full chapterFootnotes
- 16:13 pesa Au “mamona”, neno la Kiaramu linalomaanisha “utajiri”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International