Font Size
Luka 16:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro
19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima, alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku. 21 Lazaro alikuwa akitamani kula makombo yaliyodondoka mezani kwa tajiri. Hata mbwa walikuwa wakiramba vidonda vyake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica