Font Size
Luka 16:22-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 16:22-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
22 Baadaye Lazaro alikufa. Malaika walimchukua na kumweka kifuani pa Ibrahimu. Tajiri naye alikufa na kuzikwa. 23 Alichukuliwa mpaka mahali pa mauti[a] na akawa katika maumivu makuu. Alimwona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro akiwa kifuani pake. 24 Akaita, ‘Baba Ibrahimu, nihurumie! Mtume Lazaro kwangu ili achovye ncha ya kidole chake kwenye maji na kuupoza ulimi wangu, kwa sababu ninateseka katika moto huu!’
Read full chapterFootnotes
- 16:23 mahali pa mauti Kwa maana ya kawaida, “Kuzimu”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International