Font Size
Luka 16:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
26 Isitoshe, kati yetu na ninyi huko, kumewekwa bonde kubwa lisilopitika ili wale wanaotaka kutoka huku kuja huko au kutoka huko kuja huku wasiweze.’ 27 Akasema, ‘Basi, baba, tafadhali umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu, 28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica