Font Size
Luka 16:27-29
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:27-29
Neno: Bibilia Takatifu
27 Akasema, ‘Basi, baba, tafadhali umtume Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu, 28 awaonye ndugu zangu, wasije wao pia wakaletwa mahali hapa pa mateso watakapokufa.’ 29 Ibrahimu akamjibu, ‘Ndugu zako wanazo sheria za Musa na maandiko ya Manabii. Itawapasa watii hayo.’ Lakini yule tajiri akazidi kumsihi,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica