Font Size
Luka 16:30-31
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:30-31
Neno: Bibilia Takatifu
30 ‘Hapana baba Ibrahimu, ndugu zangu hawatashawishiwa na hayo. Lakini mtu kutoka kuzimu akitumwa kwao watatubu na kuziacha dhambi zao.’
31 “Ibrahimu akamwambia, ‘Wasiposikiliza na kutii sheria za Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica