Font Size
Luka 17:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Wakasimama mbali wakaita kwa nguvu, “Yesu! Bwana! tuonee huruma!” 14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Na walipokuwa wakienda, wakapona ukoma wao. 15 Mmoja wao alipoona kwamba ame pona, akarudi kwa Yesu akimsifu Mungu kwa sauti kuu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica