Font Size
Luka 17:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 17:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
24 Iweni na subira kwa sababu Mwana wa Adamu atakaporudi, mtatambua. Siku hiyo atang'aa kama mwanga wa radi umulikavyo angani kutoka upande mmoja hadi mwingine. 25 Lakini kwanza, ni lazima Mwana wa Adamu ateseke kwa mambo mengi na watu wa leo watamkataa.
26 Mwana wa Adamu atakaporudi, itakuwa kama ilivyokuwa Nuhu alipoishi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International