Font Size
Luka 17:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Aka waambia, “Kama mngekuwa na imani kiasi cha punje ndogo sana ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu, ‘Ng’oka na mizizi yote ukaote baharini,’ nao ungewatii!”
Wajibu Wa Mtumishi
7 “Tuseme mmoja wenu ana mtumishi aliyekwenda shambani kulima au kuchunga kondoo. Je, mtumishi huyo akirudi utamwambia, ‘Karibu keti ule chakula’? 8 Hata kidogo. Badala yake utamwambia, ‘Nitayarishie chakula na ujiandae kunihudumia ninapokula na kunywa, na baada ya hapo unaweza kula chakula chako.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica