Font Size
Luka 17:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 17:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Hata kidogo. Badala yake utamwambia, ‘Nitayarishie chakula na ujiandae kunihudumia ninapokula na kunywa, na baada ya hapo unaweza kula chakula chako.’ 9 Wala hutamshukuru mtumishi huyo kwa kutimiza wajibu wake. 10 Hali kadhalika nanyi, baada ya kufanya mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi ni watumishi tusiostahili, tumetimiza wajibu wetu tu.”’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica